.
7th November, 2018
Jopokazi la watu 16 limebuniwa kuangazia changamoto zinazokumba sekta ya sukari humu nchini. Jopokazi hilo limetokana na agizo la rais Uhuru Kenyatta wakati wa sherehe za kuadhimisha siku ya mashujaa katika kaunti ya Kakamega alikoagiza wakulima walipwe deni yao ya miwa tarkriban shilingi bilioni 2.6.