.
5th November, 2018
Siku chache baada ya naibu rais William Ruto kutoa hakikisho kwa wakulima kwamba maslahi yao yangeshughulikiwa kwa dharura ,wasiwasi umeonekana kutawala jitihada za wakulima ambao wanaendelea kuyavuna mahindi yao lakini hawana sehemu maalum pa kuyauzia.