×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Viongozi wa Pwani watoa kauli yao kuhusu kura ya maamuzi

3rd November, 2018

Viongozi kutoka pwani chini ya mwavuli wa jumuiya ya kaunti za pwani walikutana na kutoa kauli yao kuhusu kura ya maamuzi. 

Viongozi hao wamesema wataunga mkono kura ya maamuzi iwapo matakwa yao yatajumuishwa kwenye kapu hilo. Je ni nini wapwani watakuwa wakisaka francis mtalaki na maelezo kutoka Mombasa.

.
RELATED VIDEOS