1st November, 2018
Seneta wa Nyeri Ephraim Maina amesema atafufua kesi iliyotupiliwa mbali na mahakam kuu kwaka wa 2010, uliyokuwa ikipinga ugavi wa mipaka uliotoa maeneo bunge 290. Matamshi ya Maina yanajiri siku chache tu baada ya wanasiasa kutoka mkoa mwa kati kufanya kikao kilicho nuiwa kujadili maendeleo na siasa za Mlima Kenya. Lakini je, mbona hesabu ya watu inayofanyika mwaka ujao umezua siasa kali has miongoni mwa wanasiasa wa kati? |