.
28th October, 2018
Makala ya kumi na nne ya sherehe za utamaduni wa Lamu zimepangiwa kuanza terehe 22 hadi 25 mwezi ujao wa November.
Sherehe hizo ambazo zitagharibi shilingi millioni kumi na tatu zitakazotoa fursa ya maonyesho ya tamaduni za watu wa jamii mbali mbali katika kaunti ya lamu.