.
28th October, 2018
Makaratasi ya mtihani wa kitaifa kwa wanafunzi wa kidato cha nane yamewasili katika makao makuu ya kaunti mbali mbali humu nchini .
Katika kaunti ya Kajiado naibu kamishna wa kaunti Charles Wangu amewahakikishia wazazi kwamba mtihani huo uko salama