×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

William Ruto ameelezea kutoridhishwa kwake na baadhi ya masuala katika mfumo wa elimu

25th October, 2018

Naibu wa rais William Ruto ameelezea kutoridhishwa kwake na baadhi ya masuala katika mfumo wa elimu nchini. Ruto amekosoa hatua ya vyuo vikuu ya kuharakisha kutoa masomo mbalimbali pasi na kuwa na rasilimali zifaazo kufanikisha masomo hayo. Ruto pia amewataka wazazi kupunguza msukumo wanaowatwalia watahiniwa katika mitihani ya kitaifa. 

.
RELATED VIDEOS