.
24th October, 2018
Kiongozi wa ODM Raila Odinga aliteuliwa majuzi kuwa mjumbe maalum wa umoja wa Afrika kushughulikia suala la miundo msingi. Lakini je uhusiano wa Raila Odinga na au umekuwa vipi tangu jadi? Mwanahabari Paul Nabiswa anachambua baadhi ya matukio ya kisiasa ya Raila kutoka mwaka 2007 hadi sasa.