22nd October, 2018
Kesi inayowakabili maafisa 14 wa kampuni ya usambazaji umeme nchini katika sakata ya ununuzi wa mitambo duni ya transformer inaendelea. Maafisa waliofikishwa mahakamani ni pamoja aliyekuwa afisa mkuu mtendaji ben chumo.
Faili kuhusu kesi hiyo imeripotiwa kutoweka na sasa kiongozi wa mashtaka ametaka kesi hiyo iahirishwe huku uchunguzi ukifanyika.