×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mbunge John Muchiri amependekeza mageuzi ya katiba kupunguza mishahara ya viongozi

22nd October, 2018

Mbunge wa Manyatta John Muchiri amependekeza mageuzi ya katiba kupunguza mishahara ya viongozi waliochaguliwa. Muchiri anataka viongozi hao kupata laki moja tu kila mwezi, bima ya afya na pesa za mafuta ya gari. Hata hivyo anataka madaktari, wauguzi, maafisa wa usalama na wengine wanaotangamana na umma moja kwa moja kupata mishahara ya juu ili kurahisha utoaji wa huduma. Aidha ametoa wito kwamba jukumu la kugeuza katiba lisiachiwe wanasiasa tu. 

.
RELATED VIDEOS