×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mbunge Rigathi Gachagua ameanzisha mchakato wa kudhibiti idadi ya raia wa kigeni

22nd October, 2018

Mbunge wa Mathira Rigathi Gachagua  ameanzisha mchakato wa kudhibiti idadi ya raia wa kigeni wanaofanya  biashara au kazi ambazo wakenya wana uwezo wa kuzifanya humu nchini.  Gachagua ametangaza kuwa atawasilisha mswada bungeni  kupiga marufuku raia wa kigeni kupewa zabuni inayozidi shilingi bilioni moja na zabuni hizo kutengewa makampuni yanayomilikiwa na wakenya. Amesema kampuni za wachina zimewanyima wakenya fursa ya kibiashara. 

.
RELATED VIDEOS