22nd October, 2018
Wakazi wa mji wa Eldoret leo wameamkia mshangao baada ya washukiwa wanaozuiliwa katika kituo cha polisi cha Central mjini humo kumwaga na kupaka kinyesi ndani ya korokoro ya wafungwa kulalamikia hatua ya kucheleweshwa kwao kufikishwa mahakamani.