.
18th October, 2018
Kamati ya bunge kuhusu mazingira leo hii imefanya ziara kwenye majumba ya Seefar apartments, katika mtaa wa Highrise, na kuelezea hofu yao kuhusu uslama wa mijengo hiyo. Ingawa walisisitiza haja ya haki za wawekezaji kuzingatiwa, walisema kwamba tathmini ya awali imebaini kwamba nyumba hizo zilijengwa katika ardhi ya bwawa la Nairobi.