.
16th October, 2018
Polisi mjini Eldoret wananafanya uchunguzi kuhusiana na mauaji ya mke aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Kakamega paul yatich ambaye alipatikana akiwa ameuawa katika eneo la kiplombe kaunti ya uasin ngishu .mwili wa loyce yatich ulipatakana ukiwa na majeraha ya kukatwakatwa na polisi wanashuko waliomuua huenda walimbaka.