16th October, 2018
Imebainika kuwa marehemu caleb espino otieno, mwanamme mwenye umri wa miaka 40 aliyekuwa akifanya kazi ya umakanga katika eneo la changamwe mombasa alipigwa hadi kufa akiwa mikononi mwa polisi. Hii ni baada ya mwili wake kufanyiwa upasuaji na uchunguzi ambao umebaini kuwa alikufa kutokana na majeraha mengi. Japo madaktari wa upasuaji wamesema kuwa ni uchunguzi tu wa kina utakao baini ikiwa alipigwa.