×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Bilionea kijana wa Tanzania Mohammed Dewji anatimiza siku tano tangu alipotekwa nyara

15th October, 2018

Bilionea kijana wa Tanzania Mohammed dewji anatimiza siku tano tangu alipotekwa nyara na watu wasiojulikana alhamis ya wiki iliyopita jijini dar es salaam nchini tanzania na leo hii familia ya bilionea huyo imetangaza zawadi ya  kitita cha fedha cha shilingi za kitanzania bilioni moja sawa na milioni 44 thamani ya shilingi ya kenya kwa yeyote atakayesaidia kupatikana kwa mfanyabiashara huyo maarufu,  rajabu hasan anaarifu zaidi kutoka jijini dar es salaam nchini tanzania.

.
RELATED VIDEOS