.
14th October, 2018
Jamaa mwenye uwezo wa kusoma ila hajawahi kuenda shuleni
Inamchukuwaje mtu kukosa kuona mlango wa shule lakini aweze kuandika na kusoma baadhi ya maneno. Emmanuel Menza gona mkazi wa mombasa ni mmoja wa wale wanaosema hadi sasa imekuwa kama muujiza kwake kuweza kusoma kiingereza na kiswahili licha ya kuwa hajawahi kwenda shule. Mwanahabari francis mtalaki alitangamana naye nyumbani kwake na kutuandalia taarifa ifuatayo.