.
14th October, 2018
Naibu wa rais William Ruto amesema kwamba wakulima kutoka kote nchini watalipwa pesa zao za mahindi kwa kipindi cha mwezi mmoja waliyoyauza kwa bodi ya nafaka na mazao ya NCPB mwaka jana. Halikadhalika viongozi waliohudhuria ibada mapema leo, semi zao zilitawaliwa na kura ya maamuzi kuhusu katiba.