×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Atwoli asema mabadiliko ya kikatiba muhimu, awasuta wanaopinga

14th October, 2018

Katibu mkuu wa muungano wa vyama vya wafanyikazi nchini Francis Atwoli, amesema kwamba mabadiliko ya katiba ili kuimarisha uwakilishwaji serikalini kutaimarisha amani na imani ya waekezaji nchini. Wakizungumza katika sehemu ya Kyumbi kaunti ya Machakos kwenye zoezi la kuchangisha pesa za ujenzi wa kanisa, Atwoli amewakaripia wanaopinga mabadiliko hayo na kusema kwamba wana ubinafsi. Wakiwa pamoja na waziri wa ugatuzi Eugene Wamalwa na seneta wa kakamega Cleophus Malala, wote waliunga mkono mabadiliko ya katiba kwa manufaa ya wakenya wote.

 

 

.
RELATED VIDEOS