×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wamiliki wa basi lilohusika kwenye ajali katika eneo la Fort Tennan Kericho wafikishwa mahakama

11th October, 2018

Wamiliki wa basi lilohusika kwenye ajali mbaya ya barabara katika eneo la Fort Tennan Kericho, walifikishwa mahakama ya Molo alhamisi asubuhi.

Bernard Shitiabayi na Cleophas Shimanyu walikamatwa katika kaunti ya Kakamega jumatano na kufikishwa mbele ya hakimu Samuel Wahome. Japo polisi waliomba muda zaidi wa kufanya upelelezi hakimu alisema kuwa atatoa kauli yake ijumaa. 

.
RELATED VIDEOS