×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Watu 56 wameaga dunia baada ya ajali ya barabarani kutokea katika eneo la Tunnel

10th October, 2018

Watu hamsini na sita wameaga dunia kufikia jioni hii baada ya ajali ya barabarani kutokea katika eneo la Tunnel barabara ya Londiani kuelekea Muhoroni. Kwa mujibu wa mkuu wa polisi wa kaunti ya Kericho James Mugera, ajali hiyo ilitokea alfajiri baada ya basi la home boyz kubingirika mara kadhaa. 

.
RELATED VIDEOS