.
9th October, 2018
Anakumbukwa kama profesa wa kisiasa nchini Kenya. Bila shaka ni rais mstaafu Daniel arap Moi ambaye ni rais wa pili wa jamhuri ya Kenya na aliyeongoza taifa hili katika kipindi kigumu zaidi cha siasa, uchumi na masuala ya kijamii lakini hakuyumbishwa na alisalia imara hadi disemba 2002 alipokabidhi mamlaka mrithi wake.