9th October, 2018
Familia moja kutoka kiembeni eneo bunge la Kisauni kaunti ya Mombasa inalilia haki baada ya mmoja wao kupatikana amekufa mikononi mwa askari mnamo tarehe kumi na nane mwezi jana katika kituo cha polisi cha Changamwe. Upande polisi unadai kuwa mwendazake alizirai na kufa kutokana na pombe haramu aliokuwa amebugia.