×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

KNUT sasa kimetoa muda wa siku kumi na nne kwa tume ya kuwaajiri walimu

4th October, 2018

Na katika hatua ambayo huenda ikavurugu maandalizi ya mitihani ya kitaifa chama cha kutetea maslahi ya walimu, KNUT, sasa kimetoa muda wa siku kumi na nne kwa tume ya kuwaajiri walimu, TSC, kutimiza ahadi ilizotoa kwa waalimu lau sivyo walimu watafanya mgomo. 

Katibu mkuu wa KNUT, Wilson Sossion, amewashutumu viongozi wa  TSC kutokana na kile anachokitaja kuwa kukosa kuwajibika na kusababisha mahangaiko kwa walimu kila mwaka.

.
RELATED VIDEOS