×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

TEMBEA KENYA: Kaunti ya Isiolo ndiyo kaunti pekee iliyo na hifadhi tatu za wanyamapori nchini

29th September, 2018

Kwenye makala ya Tembea Kenya wiki hii mwanahabari George Maringa anatupeleka katika Kaunti ya Isiolo ambayo ndiyo kaunti pekee iliyo na hifadhi tatu za wanyamapori nchini na inajivunia kuwa na aina za wanyama watano spesheli ama ukipenda 'the special five'. Na kama anavyotuarifu, wanyama hao hupatikana eneo la kaskazini mwa kenya pekee kando na hoteli za aina yake ambapo wageni hutulia.

.
RELATED VIDEOS