×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wenyeji wa eneo la Kapsoya mjini Eldoret wamewagomea wahudumu wa matatu

26th September, 2018

Siku chache baada ya naibu wa Rais William Ruto kudai kuwa ongezeko la gharama ya maisha halijasababishwa na  sheria mpya ya ushuru wa ziada kwa bidhaa za petroli bali ni wafanyibiashara walaghai, sasa inaelekea wenyeji wa eneo la Kapsoya  mjini Eldoret wanakubaliana naye  ambapo  wamewagomea    wahudumu wa matatu  ambao wamewashutumu kwa kuongeza nauli  kiholela kwa kisingizio cha kupanda  kwa ushuru wa vat.Abiria hao waliamua kutembea kwa miguu na wengine kutumia pikipiki kama njia mojawapo ya kueleza ghadhabu yao dhidi ya wahudumu wa matatu. Halikadhalika walizitaka idara zinazohusika kuwajibika na kuainisha nauli katika sekta ya matatu 

.
RELATED VIDEOS