×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakulima waelezea ghadhabu yao katika kikao cha Seneti mjini Eldoret

26th September, 2018

Ghadhabu za wakulima wa mahindi zimeshuhudiwa leo katika kikao cha seneti  mjini Eldoret  kuhusu zogo la kucheleweshwa kwa malipo yao licha ya kuwasilisha mahindi katika maghala ya halmashauri ya kitaifa ya nafaka na mazao NCPB.  Wakulima  walitumia fursa hiyo kuwapasha maseneta katika kikao hicho maalum. Hata hivyo seneta wa Baringo Gideon Moi aliwasilisha muswada wake ambao ungeleta mabadiliko ya kudumu kwa halmshauri ya nafaka na mazao  nchini ili kutatua matatizo yanayowakabili wakulima

.
RELATED VIDEOS