×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Naibu wa Rais William Ruto aunga mkono ushuru wa ziada

24th September, 2018

Naibu wa Rais William Ruto hatiamaye amejiunga na mjadala unaoendelea kuhusu ushuru wa ziada akiunga  mkono hatua ya rais uhuru kenyatta ya kutia saini sheria ya  utekelezaji wa sheria hiyo iliyoongeza bei ya bidhaa za petroli  kwa kiwango cha asilimia 8. Akizungumza katika kaunti ya nandi wakati wa uzinduzi  wa mpango wa ajenda 4  kuu  za serikali, ruto amedai kuwa ongezeko la gharama ya maisha limesababishwa na wafanyibiashara walafi ambao wametumia sheria hiyo kuongeza bei za bidhaa maradufu. 

.
RELATED VIDEOS