×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Idadi ya watu waliofariki katika ajali ya MV Nyerere yafika watu 224

23rd September, 2018

Maafisa nchini Tanzania wamesema kuwa idadi ya watu waliofariki katika mkasa wa feri ya MV Nyerere iliyozama katika ziwa Victoria Alhamisi iliyopita imefikia watu 224 huku miili zaidi ikitarajiwa kuokolewa kutoka katika feri hiyo. 

Waziri wa ujenzi, uchukuzi pamoja na mawasiliano Isack Kamwelwe amesema miili zaidi huenda ikapatikana katika operesheni inayoendelea. 

Jamaa za waliofariki wameanza kutambua miili ya wapendwa wao katika kisiwa kidogo cha ukara ambako mkasa huo ulitokea.

.
RELATED VIDEOS