×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wafuasi wa Gavana Obado waandamana Migori

23rd September, 2018

Wafuasi wa Gavana wa kaunti ya Migori anayekabiliwa na utata Okoth Obado wamefanya maandamano hivi leo katika eneo la Uriri kupinga hatua ya kuzuiliwa kwake kuhusiana na  uchunguzi unaoendelea wa mauaji ya mwanafunzi wa chuo kikuu cha Rongo Sharon Otieno. 

Wafuasi hao ambao walijumuisha watu wa familia ya Obado waliandamana kutoka kijiji chake cha Rapogi hadi mjini Uriri wakitilia shaka hatua ya tume ya kupambana na ufisadi EACC kupiga tanji akaunti zake.

.
RELATED VIDEOS