22nd September, 2018
Marehemu Maribel Kapolon bintiye hakimu mkazi wa mahakama Githongo Caroline Kemei ambaye alitekwa nyara kisha kuawa kwa mazingira tatanishi alizikwa leo katika eneo la Murgusi kaunti ya Uasin Gishu.
Maelfu ya watu walihudhuria sherehe ya mwendazake huku wengi wakitaka haki itendewe familia hiyo.