.
20th September, 2018
Wabunge nao walitoa maoni yanayokinzana kuhusiana na mjadala huo ambao ulikuwa ukifuatiliwa kwa karibu. Baadhi ya wabunge hususan wa miungano ya Jubilee na NASA walitofautiana kuhusu msimamo wa mirengo yao ambayo ilikuwa imewataka waunge mkono marekebisho ya rais.