Wakulima wa ndizi katika kaunti ya Taita Taveta watanufaika na kiwanda cha bidhaa hiyo
19th September, 2018
Wakulima wa ndizi katika kaunti ya Taita Taveta watanufaika na kiwanda cha bidhaa hiyo baada ya wizara ugatuzi kwa ushirikiano na umoja wa ulaya kutia saini makubaliano kwa ruzuku ya shilingi milioni mia moja na kumi.