.
18th September, 2018
Muungano wa kutetea maslahi ya madaktari nchini KMPDU sasa umeitaka serikali ya Kaunti ya Nairobi kuwarejesha kazini wafanyakazi watatu wa hospitali ya Pumwani wakiwemo madaktari wawili waliosimamishwa kazi na gavana mike sonko hapo jana baada ya miili kumi na wawili kupatikana ikiwa imefungwa kwa makaratasi ya plastiki na kuwekwa kwenye maboksi katika hali tatanishi.