×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

KMPDU umeitaka serikali ya Kaunti ya Nairobi kuwarejesha kazini wafanyakazi wa hospitali ya Pumwani

18th September, 2018

Muungano wa kutetea maslahi ya madaktari nchini KMPDU sasa umeitaka serikali ya Kaunti ya Nairobi kuwarejesha kazini wafanyakazi watatu wa  hospitali ya Pumwani wakiwemo madaktari wawili waliosimamishwa kazi na gavana mike sonko hapo jana baada ya miili kumi na wawili kupatikana ikiwa imefungwa kwa makaratasi ya plastiki na kuwekwa kwenye maboksi katika hali tatanishi. 

.
RELATED VIDEOS