18th September, 2018
Siku mbili baada ya mwili wa mwanafunzi Maribel Kapolon mwenye umri wa miaka tisa kupatikana ndani ya msitu, mashirika mbalimbali yamejitokeza kuandaa maandamano mjini meru, huku viongozi mbali mbali wakimiminika nyumbani kwa marehemu ili kutoa risala za rambi rambi. Muungano wa majaji na mahakimu nchini vile vile umekemea mauaji hayo na kutaka maafisa wa mahakama kupewa ulinzi wa kutosha. Mwanahabari george maringa amekuwa akifuatilia taarifa hii kwa kina na anatupa maelezo kamili.