16th September, 2018
Makabiliano makali yalizuka katika mtaa wa Eastleigh kati ya wapangaji, wakazi na watu wanaojiita madalali ambao walikuwa wakizozania umiliki wa ardhi katika eneo hilo.
Wakaazi waliwashambulia madalali hao ambao wanadai wamekuwa wakiwahangaisha kwa kuchelewa kulipa kodi.