.
13th September, 2018
Mda mchache baada ya rais Kenyatta kuzindua sare mpya za maafisa wa ngazi za juu idara ya polisi, ambazo alisema itakua wepesi kwa maafisa wa usalama kuonekana, wakenya nao waliingia kwenye mitandao ya kijamii kupaaza hisia zao kuzihusu sare hizo mpya za polisi. Rais Kenyatta ameagiza inspekta generali wa polisi kushirikiana na wizara ya fedha kutekeleza mabadiliko hayo