×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wanawake wamefanya maandamano wakikashifu mauaji ya Sharon Otieno

11th September, 2018

Wanawake kutoka matabaka mbalimbali leo hii wamefanya maandamano ya amani katikati mwa jiji la nairobi wakikashifu mauaji ya mwanafunzi wa chuo kikuu cha rongo Sharon Otieno. Wakiongozwa na vuguvugu la kutetea haki za binadamu Coalition for grassroot sawa na baadhi ya wawakilishi wa vyuo vikuu, wanawake hao wametaka kutwaliwa kwa vyeti vya kusafiri vya washukiwa wote wa mauaji hayo. Wakikariri historia ya visa vya mauaji ya wanafunzi wa vyuo vikuu ambavyo hutekelezwa na watu mashuhuri pasi na kuchukuliwa hatua yoyote. Wanataka vyombo husika kuharakisha shughuli ya uchunguzi.

.
RELATED VIDEOS