11th September, 2018
Rais Uhuru Kenyatta mapema hii leo ameandaa mkutano na waziri wa fedha Henry Rotich, na mwanasheria mkuu Paul Kihara kuhusu mswada wa fedha uliosababisha ada ya asilimia 16 kwa bidhaa za mafuta. Haya yanajiri huku shinikizo kwa rais kenyatta kutia sahihi mageuzi kwenye mswada huo kufutilia mbali ushuru kwa mafuta angalau kwa miaka miwili zaidi zikizidi.