×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Rais Uhuru Kenyatta ameandaa mkutano na Waziri wa Fedha Henry Rotich

11th September, 2018

Rais Uhuru Kenyatta mapema hii leo ameandaa mkutano na waziri wa fedha Henry Rotich, na  mwanasheria mkuu  Paul Kihara kuhusu mswada wa fedha uliosababisha ada ya asilimia 16 kwa bidhaa za mafuta. Haya yanajiri huku shinikizo kwa rais kenyatta kutia sahihi mageuzi kwenye mswada huo kufutilia mbali ushuru kwa mafuta angalau kwa miaka miwili zaidi zikizidi. 

.
RELATED VIDEOS