×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Siku ya kuhamasisha umma dhidi ya kujitoa uhai imeadhimishwa leo mjini Embu

10th September, 2018

Siku ya kuhamasisha umma dhidi ya kujitoa uhai imeadhimishwa leo mjini Embu. Inakadiriwa kwamba takriban watu laki nane hujitoa uhai kila mwaka kote duniani. Kenya pekee kati ya watu wanne hadi watano hujitoa uhai kila siku. Miongoni mwa mambo yanayodaiwa kuchangia katika watu kujiua ni mafadhaiko wa akili. 

.
RELATED VIDEOS