×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Gavana Sonko awaonya Wakilishi wa Wadi

8th September, 2018

Siasa za Kaunti ya Nairobi zimeonekana kupenyeza wakati wa hafla ya maadhimisho ya miaka tatu tangu kifo cha babake gavana wa nairobi mike sonko katika eneo la  mua hills kaunti ya Machakos. Haya yanajiri siku tatu tu baada ya wawakilishi wa wadi katika kaunti ya nairobi kumng'atua mamlakani spika wa kaunti beatrice elachi na kutishia kumfanyia vivyo hivyo gavana mike sonko . Mwanahabari wetu mark namaswa amehudhuria maadhimisho hayo na sasa tuungane naye atueleze yanayojiri. 

.
RELATED VIDEOS