×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

TEMBEA KENYA: Wakazi wa Taita Taveta wanajivunia utajiri wa historia

8th September, 2018

Changamoto inapoendelea kutolewa kwa kaunti zote kukuza utalii, katika Kaunti ya Taita Taveta wakazi wanajivunia utajiri wa historia ya dini yenye umri wa miaka mia moja. Makavazi ya wray yaliyokuwa kanisa la tatu la kiangalikana kujengwa na wamisonari sasa limehifadhiwa kama makavazi maalum ambapo wakazi huzuru kujionea kando na kutoa nafasi za ajira kwa baadhi ya wakazi wa sagalla eneo la Voi.

.
RELATED VIDEOS