6th September, 2018
Kwa wale waliokuwa wafanyikazi katika ofisi za serikali, bila shaka wanafamu simu zilizokuwa zikitumiwa ofisini kabla ya ujio wa simu za sasa.
Kwa wakati mwingine simu hizo za zamani zilikuwa zikifungiwa kufuli ili kudhibiti matumizi.