4th September, 2018
Kamati ya kitaifa ya kushughulikia malalamishi ya mazingira imezuru chemichemi ya maji ya Ondiri eneo la Kikuyu baada ya taarifa kuhusu uchafuzi wake. Hata hivyo idara za nema na mamlaka ya maji zilizidi kulaumiana kuhusu ni nani amelegeza kamba.