Mahojiano kuhusu athari za bei ghali ya mafuta | KTN Leo [Sehemu ya Pili]
3rd September, 2018
Magavana kutoka eneo la Mlima Kenya wametaja ushuru wa asilimia kumi na sita ambao umepelekea bei ya bidhaa za mafuta kupanda, ni wa juu sana na utawaumiza Wakenya wengi.