.
3rd September, 2018
Mwanaharakati Okiya Omtata amewasilisha mahakamani kesi inayopinga serikali kutetekeleza ushuru wa ziada wa asilimi kumi na sita kwa bidhaa za mafuta. Omtata anaitaka mahakama itoe agizo la kusitisha kwa muda utekelezaji wa ushuru huo hadi muafaka upatikane. Kwingineko wadau kwenye sekta ya uchukuzi wameshikilia kwamba iwapo serikali haitabatilisha ushuru huo mpya, wakenya watalazimika kugharimika zaidi.