×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Washukiwa wa sakata ya mahindi wafikishwa mahakamani

30th August, 2018

Washukiwa wa sakata ya mahindi akiwemo katibu wa kudumu wa wizara ya kilimo Richard Lesiyampe wamefikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya matumizi mabaya ya mamlaka, ulaghai na utumizi wa fedha za umma bila idhini. 

Jumla ya watu kumi na sita wanasakwa na tume ya EACC kwa kuwezesha wakulima bandia kujipatia bilioni 1.9 huku wakulima halisi wakiangua kilio.

.
RELATED VIDEOS