Watu 12 wapoteza maisha kwenye ajali ya barabara Kimende
29th August, 2018
Watu kumi na wawili wamethibitishwa kufariki na wengine tisa wanaendelea kupokea matibabu katika hospitali ya Kijabe, kufuatua ajali iliyotokea kwenye barabara ya Nairobi-Naivasha usiku wa kuamkia leo.