×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wanajeshi watano wa KDF wauwawa kwenye msafara

29th August, 2018

Wanajeshi watano wa KDF wamefariki huku 10 wakiendelea kupokea matibabu, baada ya lori lao kukanyaga kilipuzi cha kutegegwa ardhini huko kiunga kaskazini mwa pwani ya kenya.
 
Shambulizi hilo lilitokea kwenye  barabara kuu ya kuelekea Kiunga kutoka sehemu ya Sankuri mwendo wa saa mbili asubuhi. 
 
Wanajeshi hao wa KDF walikua wakielekea vijiji vya kiunga katika msitu wa Boni kupeana misaada ya maji na vyakula kwa wakaazi hao.
 
 Msemaji wa jeshi la KDF Paul Njuguna aliwashukuru wenyeji kwa ushirikiano wao baada ya tukio hilo.
.
RELATED VIDEOS