.
28th August, 2018
Gavana wa Garissa Ali Bunnow Korane ameshinda mchana kutwa kwenye kituo cha polisi cha Nairobi area akihojiwa kuhusu jaribio la kumwua waziri wa zamani wa fedha kaunti ya garissa idriss aden mkutar. Hata hivyo kufikia jioni hii taarifa zilisalia finyu kuhusu iwapo atalala kizuizini au la.